Featured Posts
Tuesday, December 08, 2015
DK. SHEIN SASA AWASHUKIA WATAALAM WA AFYA Z'BAR
MENEJA MKUU KIWANDA CHA URAFIKI ASIMAMISHWA KAZI
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara,
imeingilia kati mgogoro wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kwa
kuwasimamisha kazi Meneja Mkuu wa kiwanda hicho, Nassoro Baraza na Naibu
Meneja Mkuu, Samweli Swai ili kupisha uchunguzi dhidi yao ufanyike na
endapo watabainika kuwa ni chanzo cha mgogoro huo watachukuliwa hatua za
kisheria.
MNYIKA ATAKA RIPOTI ZA MWAKYEMBE, SITTA KUHUSU BANDARI
Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika, ameomba
ripoti za kamati za uchunguzi zilizoundwa na mawaziri wa Wizara ya
Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe na Samuel Sitta, kuhusu Mamlaka ya
Bandari Tanzania (TPA) ziwekwe hadharani.
Subscribe to:
Posts (Atom)